Masterpiece King’s Confidence Lyrics

Alright Alright Boom (Masterpiece, Masterpiece)

Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu I know my father got me, kichwa juu

Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu I know my God got me, hey kichwa juu

First of all agreement Kuwa Mungu ako juu hakuna argument Amenipa confidence Sa kichwa huko juu, niko confidence

Aah stress iko juu Lakini Mungu wangu ako juu, ako juu Aaah uchumi iko juu Lakini Mungu wangu ako juu, ako juu

Hakuna noma, Inaweza kunitisha mimi(ooh yeah ah) Hakuna noma, Inaweza kunitisha mi(yeah)

Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu I know my father got me, kichwa juu

Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu I know my God got me, hey kichwa juu

Hakuna kitu inaweza tisha Siko solo nina Jesus Hakuna kitu inaweza tisha Ju niko na Yesu kama Peter(yeiii)

Sa ma worry tunaweka low, Hatuogopi no Sa ma worry tunaweka low Tuko na Jesus, mambo safi ka snow

Hakuna noma, Inaweza kunitisha mimi(ooh yeah ah) Hakuna noma, Inaweza kunitisha mi(yeah)

Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu I know my father got me, kichwa juu

Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu I know my God got me, hey kichwa juu

Hakuna kitu inaweza tisha Inaweza tisha Hakuna kitu inaweza tisha Ju niko na Yesu kama Peter

Hakuna kitu inaweza tisha Inaweza tisha Hakuna kitu inaweza tisha Ju niko na Yesu kama Peter

Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu I know my father got me, kichwa juu

See Also  Serge Beynaud's En Haut Lyrics

Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu Confidence, kichwa juu I know my God got me, hey kichwa juu

Kama Peter, Juu niko na Yesu ka-kama Peter Kama Peter, Juu niko na Peter Yesu ka-kama

We will be happy to hear your thoughts

Leave a reply

Wasit
Logo