Kama suspender, mbe mbe mbe Baby hello
Leo unataja nikutoe dinner Oooh nikutoe dinner Mmmh sweety hello
Leo unataka tukale cha mchana Uenjoy my beiby Huba nimezama sijui umeroga Kama umeroga kaongeze tena
Penzi lako tamu sina hali Tamu limezidi asali We ndo daktari wa mapenzi Fundi yaani fire fire
Ngoma si dibwi, lakata kumbi Kitandani ana vyeti ka fungu Mie taabani
Ona eeh kadata na mziki Tamu siishi hamu Nikiweka anakatika Tamu siishi hamu
Ona eeh kadata na mziki Tamu tamu siishi hamu Nikiweka anakatika Tamu tamu siishi hamu
Alamba alamba Tamu tamu siishi hamu Alamba alamba Tamu tamu siishi hamu
Nikirudi kazini Nakandwa kandwa Massage mwenzenu Hata kuoga naogeshwa
Siku moja mara mbili Nabadilishiwa bukta Huwa anapenda utani Basi daily nacheka
Huku tunakunywa wine Mpaka mida inafika Mimi ananiita dereva wa jahazi Tete ndo moyo wake
Mtoto mashawa tende Halua nampendaga Mwenyewe anasemaga namnogesha Nayamudu mapigo yake, yeye
Na mi sijiwezi Ashanitia kabari Ya mapenzi Niko hoi mahututi
Nalishwa kwa kijiko Penzi tamu bwana Eeh ah alamba aah
Nalishwa kwa kijiko Penzi tamu bwana Eeh ah alamba aah
Nalishwa kwa kijiko Penzi tamu bwana
Kuna vishawishi vya kila aina Tafadhali usishoboke Pia naahidi kukulinda Maradhi nisikuletee
Na ujue nina wivu Maana nakupenda sana Ah nakupendaga
Tabata kigogo msata Njoo maa nionyeshe show Tegeta kwenge mchicha Njoo maa nionyeshe show
Iyayayaya eeh Njoo maa nionyeshe show Iyayayaya eeh Njoo maa nionyeshe show
Ona eeh kadata na mziki Tamu siishi hamu Nikiweka anakatika Tamu siishi hamu
Ona eeh kadata na mziki Tamu tamu siishi hamu Nikiweka anakatika Tamu tamu siishi hamu
Alamba alamba Tamu tamu siishi hamu Alamba alamba Tamu tamu siishi hamu
Mimi ananiita dereva wa jahazi Na tena moyo wake kainama kainuka Kaokota ndizi banana Beiby nitanunua Hammer Ila bado uchumi unabana